HUDUMA KWA JAMII

Shule (Schools)

Jimbo linasimamia shule za awali, msingi na sekondari, vyuo na taasisi za elimu. Bonyeza kuona zaidi.

Education Department

Education Department

Shule za sekondari, msingi, awali, vyuo vya ufundi na chuo cha afya cha Kabanga.

Soma Zaidi
Schools

Kabanga College of Health & Allied Sciences

Chuo cha elimu ya afya cha Jimbo kinachofundisha wauguzi na wahudumu wa afya.

Soma Zaidi

Hospitali & Vituo vya Afya (Hospitals & Health)

Hospitali ya rufaa ya Kabanga, vituo vya afya na zahanati mbalimbali za Jimbo.

Kabanga Referral Hospital

Kabanga Referral Hospital

Hospitali ya rufaa ya Jimbo yenye huduma kamili za afya kwa jamii nzima.

Soma Zaidi
Health Centers

Vituo vya Afya na Zahanati

Vituo vya afya vya Mulera, Marumba na zahanati za Musagara, Muhinda, Kasumo, Kiganza na Kakonko.

Soma Zaidi

Hosteli na Vituo vya Mapumziko (Hotels & Retreat Centers)

Vituo vya mapumziko, mafungo na hosteli za Jimbo kwa huduma za kujikaribisha na makazi.

St Paul Center Buhabhugali

St Paul Center Buhabhugali

Kituo cha mapumziko na mafungo chenye mazingira ya utulivu kwa tafakari na mfarijiko wa kiroho.

Soma Zaidi
St Martha Nzimano Hostel

St Martha Nzimano Hostel

Hosteli ya Jimbo inayotoa malazi mazuri kwa wanafunzi na wageni.

Soma Zaidi
St Augustino Mwilanvya Hostel

St Augustino Mwilanvya Hostel

Hosteli yenye malazi safi na salama kwa wanafunzi na wageni wa Jimbo.

Soma Zaidi

Viwanda Vidogo na Biashara (Small Industries)

Miradi ya uzalishaji wa Jimbo inayounda ajira na kujenga uchumi wa jamii.

Nzimano Soap

Nzimano Soap

Kiwanda kidogo cha Jimbo kinachozalisha sabuni kwa ajili ya matumizi ya jamii.

Soma Zaidi
Nzimano Soap

Nzimano Livestock Farm

Mifugo mbalimbli ya Nyumbani, Ngombe, Mbuzi, Kuku, Bata, Nguruwe, sungura.

Soma Zaidi
Amahoro Stationary

Amahoro Stationary

Duka la vifaa vya shule na ofisi vinavyohudumia jamii na taasisi za Jimbo.

Soma Zaidi